Home KITAIFA SIMBACHAWENE NA MHAGAMA WAAPISHWA

SIMBACHAWENE NA MHAGAMA WAAPISHWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Jenista Mhagama kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 02 Aprili, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. George Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) tarehe 02 Aprili, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) Mhe. George Simbachawene wakila Kiapo cha Uadilifu kwa Viongozi, Ikulu, Dar es Salaam Aprili 02, 2023.
Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho wa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) Mhe. George Simbachawene, Ikulu-Dar Aprili 02, 2023.
Previous articleKAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA REA NA KUHAMASISHA WANANCHI KUCHANGAMKIA FURSA ZA UMEME VIJIJINI
Next articleNaCONGO LATOA TAMKO JUU YA TUHUMA YA BAADHI YA MASHIRIKA KUTUHUMIWA KUENEZA MASWALA YA USHOGA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here