Home KITAIFA NAIBU WAZIRI WA MAJI ,NA MBUNGE JIMBO LA ULANGA SALIM HASHAM WAWATAKA...

NAIBU WAZIRI WA MAJI ,NA MBUNGE JIMBO LA ULANGA SALIM HASHAM WAWATAKA VIJANA WAKIKE KUJIPAMBANUA

Naibu waziri wa maji Mhandisi Mary Prisca Mahundi amewata vijana wa kike kuamka pamoja na kujitoa katika unyonge ili kuweza kupambania ndoto na kufikia malengo .

Amesema hayo mkoani Morogoro katika usiku wa tuzo za wanawake wapambanaji zilizoandaliwa na taasisi ta ladies talk zenye lengo la kuwainua wanawake katika nyanja mbalimbali.

Kwa upande wake mbunge wa ulanga Salim Alaudin Hasham amewaasa vijana kike kujipambanua kwa kufanya kazi yoyote na kuacha kufanya shughuli walizozizoea kama uuzaji wa nguo ,mikoba pamoja na Makeup.

Previous articleKAMISHNA MWAKILEMA ASHIRIKI DORIA YA KUWASAKA SIMBA WALIOZUA TAHARUKI IRINGA
Next articleDKT. KIKWETE AONGOZA MBIO ZA JKT MARATHON

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here