Home KITAIFA DC JOKATE AWAPONGEZA AKINA MAMA WANAOZALISHA MAZAO YA ASILI

DC JOKATE AWAPONGEZA AKINA MAMA WANAOZALISHA MAZAO YA ASILI

 

Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo amewapongeza akina mama wanaozalisha mbegu za asili za mazao mbalimbali ya chakula, matunda na mbogamboga.

Akina mama hao waonafanya shughuli za uzalishaji wa mbegu hizo chini ya mtandao wa jinsia Tanzania (TGNP), ambapo licha ya pongezi amewaalika kufika wilayani Korogwe ili kuwashirikisha wanawake wengine wilayani humo mbinu za uzalishaji.

Kwa upande wake afisa programu sera ujenzi wa nguvu za moja (TGNP )Rogathe Loakaki amesema,gharama ya uendeshaji wa shughuli za kilimo na viuatilifu ndivyo vimewasukuma kujikita katika kilimo cha mbegu za asili, ambapo kwasasa wameifikia Mikoa ya Kilimanjaro, Morogoro na Manyara.

Previous articleMAJALIWA AWAONYA MADEREVA WA SERIKALI
Next articleMSD YATENGA BILIONI 205 UNUNUZI WA BIDHAA ZA AFYA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here