Home MICHEZO CHAMA AFUNGIWA MECHI TATU

CHAMA AFUNGIWA MECHI TATU

 

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa mwenendo wa Ligi Kuu, iliyochini ya Bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Mei 19,2023 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na kufanya maamuzi yafuatayo.

Ligi kuu ya NBC Mechi Namba 222:
Simba Sc 3 vs 0 Ruvu Shooting Fc

Mchezaji wa klabu ya Simba Clouts Chama amefungiwa michezo mitatu (3) na kutozwa faini ya Sh.500,000 (Laki tano) kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezeji wa Klabu ya Ruvu Shooting, Abal Kassim Suleiman,tukio hilo lilitokea katika mechi iliyochezwa Mei 12,2023 mwenye dimba la Azam Complex.

Adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni ya 41:5(5.2) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Wachezaji.

Previous articleRAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA MABALOZI WAPYA NANE
Next articleMMOMONYOKO WA MAADILI WAWALIZA WAHITIMU-KIDATO CHA SITA

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here