Google search engine

HUYU MWANAMKE ANANIPA MAPENZI HADI NACHANGANYIKIWA

Hakuna raha katika maisha hasa upande wa mahusiano kama kumpenda anayekupenda, unakutana na mtu anakuonyesha mapenzi ya kweli kiasi kwamba anaanza kujiuliza ulikuwa wapi...

GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA YATOA MIRADI YA MAENDELEO KWA VIJANA

  Husna Hassan, Mtwara Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Kanali Patrik Sawala ametembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ya vijana inayo tekelezwa na shirika lisilo la kiserikali...

WADAU WA KOROSHO WAOMBA SERIKALI KUANGALIA UPYA UTARATIBU WA VIBALI NA TOZO

Licha ya uwepo wa soko kubwa la zao la korosho nje ya nchi, baadhi ya wadau wa zao la korosho wameiomba serikali kuangalia upya...

TUWAPE ELIMU MAKUNGWI NA MANGARIBA ILI KUTOA ELIMU BORA KWA WATOTO

Husna Hassan,Mtwara Kila ifikapo Novemba 25 ya kila mwaka dunia huzindua kampeni ya siku 16 za uanaharakati dhidi ya ukatili wa kijinsia ambapo nchini Tanzania...

JAMII FICHUENI VITENDO VYA UKATILI – DC MUNKUNDA

Husna Hassan,Mtwara Jamii imeombwa kutofumbia macho vitendo vinavyohusiana na ukatili wa kijinsia ili kupunguza ongezeko la vitendo hivyo Haya yameelezwa leo Novemba 25 ,2023 na Mkuu...

KUAHIRISHA SAFARI ATCL SAMBAMBA NA LUGHA ZISIZOFAA VYAMCHEFUA NAIBU WAZIRI KIHENZILE

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile amewajia juu AirTanzania kutafuta sululu ya kudumu ya tatizo la kuahirisha safari...

TANZANI NI YA PILI AFRIKA KWA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI – WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kasimu Majaliwa Majaliwa amesema Tanzania ni nchi ya pili barani Afrika kwa kuanzisha na kutekeleza...

KIHENZILE AITAKA DMI KUFUNGUA MATAWI YA CHUO MIKOANI

KIHENZILE AITAKA DMI KUFUNGUA MATAWI YA CHUO MIKOAN Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameutaka uongozi wa Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kuhakikisha...

AJINYONGA BAADA YA KUMCHARANGA MAPANGA MKE WAKE SABABU NI KUKUTA SMS ZA MAPENZI

  Na Joel Maduka Geita. Martine John (40) mkazi wa Geita Mjini amejinyonga hadi kufa baada ya kumjeruhi mke wake kwa kumkata na panga sehemu mbalimbali...

ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 1 KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KATA YA MSIMBATI NA MADIMBA

  Husna Hassan,Mtwara Mara baada ya ziara ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Biteko katika kata ya Msimbati ya kukagua visima vya...