Home KITAIFA AKAMATWA BAADA YA KUFUNGUA MLANGO WA NDEGE IKIWA ANGANI

AKAMATWA BAADA YA KUFUNGUA MLANGO WA NDEGE IKIWA ANGANI

Mwanaume mmoja nchini Korea Kusini amekamatwa baada ya kufungua mlango wa dharura wa ndege ya Shirika la Asiana ilipokuwa ikiwasili nchini Korea Kusini ikiwa bado umbali wa mita 250.

Ndege hiyo iliyowasili katika uwanja wa ndege wa kimataufa wa Daegu katika mji wa Gyeongsang – do ikitokea katika kisiwa cha Jeju nchini Korea Kusini ilikuwa imebeba abiria 194 ambao wote walisalimika baada ya tukio hilo.

Baadhi ya abiria walikimbizwa hospitalini baada ya kupoteza fahamu na wengine kupata matatizo ya kupumua.

Previous articleCCM ILEJE YAWANOA MAKATIBU UENEZI, ELIMU MALEZI NA CHIPUKIZI NGAZI YA KATA. NA DENIS SINKONDE, SONGWE
Next articleWAKULIMA WA KAKAO MBEYA WAASWA KUJIUNGA NA VYAMA VYA USHIRIKA ILI KUWA NA MAAMUZI KATIKA BEI

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here